Metarhizium acridum

Metarhizium
Nzige aliyeuawa na Metarhizium acridum
Nzige aliyeuawa na Metarhizium acridum
Uainishaji wa kisayansi
Domeni: Eukaryota
Himaya: Fungi
Nusuhimaya: Dikarya
Ngeli: Sordariomycetes
Oda: Hypocreales
Familia: Clavicipitaceae
Jenasi: Metarhizium
Sorokin
Spishi: Metarhizium acridum
(Driver & Milner) J.F. Bisch., Rehner & Humber (2009)

Metarhizium acridum[1] ni jina jipya la kundi la matenganisho ya kuvu ambayo yanajuliwa kusababisha maambukizi dhidi ya spishi za Acrididea pekee. Zamani spishi hii ilikuwa na hadhi ya namna katika Metarhizium anisopliae (var. acridum[2]). Kabla ya hii matenganisho haya yalitambulishwa kama M. flavoviride au Metarhizium sp.[3] Yaunda kundi la matenganisho kutoka panzi na nzige ambayo yanafanana sana.

  1. Bischoff J.F., Rehner S.A. and Humber R.A. (2009). "A multilocus phylogeny of the Metarhizium anisopliae lineage". Mycologia. 101 (4): 512–530. doi:10.3852/07-202. PMID 19623931.
  2. Driver, F., Milner, R.J. and Trueman, W.H.A. (2000). "A Taxonomic revision of Metarhizium based on sequence analysis of ribosomal DNA". Mycological Research. 104 (2): 135–151. doi:10.1017/S0953756299001756.{{cite journal}}: CS1 maint: multiple names: authors list (link)
  3. Bateman, R.P., Carey, M., Batt, D., Prior, C., Abraham, Y., Moore, D., Jenkins, N., Fenlon J. (1996). "Screening for virulent isolates of entomopathogenic fungi against the desert locust, Schistocerca gregaria (Forskål)". Biocontrol Science and Technology. 6 (4): 549–560. doi:10.1080/09583159631181.{{cite journal}}: CS1 maint: multiple names: authors list (link)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne