Metarhizium | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Nzige aliyeuawa na Metarhizium acridum
| ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Metarhizium acridum[1] ni jina jipya la kundi la matenganisho ya kuvu ambayo yanajuliwa kusababisha maambukizi dhidi ya spishi za Acrididea pekee. Zamani spishi hii ilikuwa na hadhi ya namna katika Metarhizium anisopliae (var. acridum[2]). Kabla ya hii matenganisho haya yalitambulishwa kama M. flavoviride au Metarhizium sp.[3] Yaunda kundi la matenganisho kutoka panzi na nzige ambayo yanafanana sana.
{{cite journal}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (link)
{{cite journal}}
: CS1 maint: multiple names: authors list (link)